Maelfu waandamana Venezuela wakitaka kurejeshwa kwa Maduro

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-07 12:53 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Maelfu ya wafuasi wanayoiunga mkono serikali ya Venezuela wameandamana katikati mwa mji mkuu Caracas jana Jumanne, wakitaka kurejeshwa rais aliyeondolewa madarakani Nicolás Maduro na mke wake Cilia Flores ambao sasa wanazuiliwa na mamlaka za Marekani.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]