Israel kufungua ubalozi mjini Hargeisa Somaliland
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-07 13:07 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika ziara yake ya kwanza rasmi Somaliland, Saar amesema Israel itafungua ubalozi hivi karibuni mjini Hargeisa na kumteua balozi atakayewakilisha nchi hiyo ndani ya ardhi ya Somaliland, licha ya ukosoaji mkubwa wa kimataifa kuhusu uamuzi wake wa kulitambua eneo hilo, ambalo sehemu kubwa ya dunia inalichukulia kuwa sehemu ya Somalia.
--------------------------------------------------------------------