DRC yaaga mashindano ya AFCON huko Morocco

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-07 21:40 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika mechi hiyo ya Jumanne mjini Rabat, timu ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo iliondolewa na Algeria iliyopata ushindi mwembamba wa bao 1-0, baada ya mchezaji wa Algeria Adil Boulbina kupachika bao maridadi kabisa nyakati za lala salama za mwishoni mwa muda wa ziada na kuzima kabisa matumaini ya timu ya Léopard ya DRC.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]