Ugiriki, Cyprus na Israel kutanua luteka za kijeshi

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-08 01:40 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mpango wa ushirikiano wa kijeshi kati ya nchi hizo tatu, pamoja na mipango miwili ya ushirikiano kati ya Jeshi la Israel, IDF na Vikosi vya Ulinzi vya Ugiriki, na kati ya IDF na Jeshi la Cyprus, ulisainiwa nchini Cyprus wiki iliyopita. Makubaliano hayo yalisainiwa mjini Nicosia wakati wa mkutano wa kila mwaka wa wakuu wa majeshi wa nchi hizo tatu na ulitangazwa rasmi na IDF, na kupata mwitikio mzuri kutoka kwenye vyombo vya habari vya ndani na umma wa Cyprus.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]