Ni siku ya pili ya mkutano wa makadinali na Papa Leo wa 14

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-08 13:31 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Tofauti na mikutano ya kawaida ya makadinali, ambayo inaweza kufanyika mara kadhaa kwa mwaka, mkutano huu wa dharura unawakutanisha si tu makardinali wanaoishi Roma, bali makadinali wote 245.Kwa mujibu wa tovuti ya Habari ya Vatican, ajenda zinajumuisha majadiliano kuhusu nyaraka mbili muhimu za mageuzi zilizotolewa na mtangulizi wa Papa Leo, Papa Francis aliyefariki dunia Aprili mwaka jana.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]