Uchaguzi Mkuu Uganda 2026: Mambo muhimu ya kufahamu

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-07 21:52 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Tume ya uchaguzi ya Uganda imeidhinisha vyama 27 kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu wa bunge na Urais, utakaofanyika Januari 15, kukiwa na wagombea urais wanane kwa ujumla wake wakiwemo rais wa sasa Yoweri Kaguta Museveni na kiongozi wa upinzani Robert Kyagulani anayefahamika zaidi kwa jina lake la usanii Bobi Wine.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]