Ufaransa, Ujerumani na Poland kuijadili Ukraine, mjini Paris

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-07 21:28 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Europe, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mkutano huo utahudhuriwa na waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Johann Wadephul, mwenzake wa Ufaransa Jean-Noël Barrot na Radoslaw Sikorski wa Poland. Hapo jana (06.01.2026), washirika wa Ukraine walikutana mjini Paris kujadili namna ya kuimarisha amani ya Ukraine kufuatia uwezekano wa kufikiwa makubaliano ya usitishaji vita. Changamoto katika kanda ya Indo pasifiki pia ni jambo litakalojadiliwa katika mkutano huo.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]