Marekani yasitisha misaada Somalia kufuatia madai ya wizi

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-08 21:50 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Jumatano, Marekani imesema imepokea ripoti kuwa maafisa wa Somalia waliharibu ghala la Mpango wa Chakula Duniani, WFP, lililofadhiliwa na Marekani na kuchukua kinyume cha sheria tani 76 za chakula kilichokusudiwa kwa wananchi walio hatarini.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]