Shambulio la Marekani liliwauwa watu 100 Venezuela
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-08 21:26 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Diosdado Cabello, Waziri wa Mambo ya ndani wa Venezuela, kupitia televisheni ya taifa ametoa takwimu za waliouawa Jumamosi ikiwa ni mara ya kwanza kwa mamlaka kutoa idadi kamili ya waliopoteza maisha. Awali, jeshi liliorodhesha majina ya wanajeshi 23 pekee waliouawa katika shambulio hilo lililomweka Maduro mikononi mwa Marekani.
--------------------------------------------------------------------