Waasi wa AFC/M23 wazika miili ya waliouwawa Masisi

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-09 01:25 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Wapiganaji hao wa AFC/M23 wamedai kuwa idadi hiyo ya vifo imeongezeka kufuatia shambulizi lingine lililotokea tarehe 2 Januari mwaka huu, ambapo watu 6 walipoteza maisha na zaidi ya wengine 40 kujeruhiwa baada ya ndege isiyokuwa na rubani kulilenga jengo lililokuwa linakaliwa na raia katikati mwa mji wa Masisi.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]