Je tamaa ya Trump kuitaka Greenland itaivuruga NATO?

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-09 01:20 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Europe, International Orgs, US Politics, War & Conflict
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Marekani imeongeza vitisho vya kutaka kuichukua Greenland kisiwa cha kimkakati kilichopo kwenye eneo la Bahari ya Arctic kinachomilikiwa na Denmark. Kutokana na msimamo mkali wa utawala wa Rais Donald Trump, Waziri Mkuu wa Denmark, Mette Frederiksen, amesema hatua kama hiyo itaashiria mwisho wa muungano wa kijeshi wa NATO.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]