Lebanon yakamilisha awamu ya kuipokonya silaha Hezbollah
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-09 02:14 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Hatua hiyo inajiri chini ya shinikizo kubwa kutoka Marekani na hofu ya kuongezeka kwa mashambulizi ya Israel. Jeshi la Lebanon limesema awamu ya kwanza imelenga eneo lililo kusini mwa Mto Litani, isipokuwa maeneo ambayo bado yanakaliwa na wanajeshi wa Israel karibu na mpaka.
--------------------------------------------------------------------