Urusi: Ukraine na washirika wake ni wachochezi wa vita

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-09 02:49 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Msemaji wa wizara ya mashauri ya kigeni ya Urusi Maria Zakharova amesema makubaliano yaliyofikiwa na Ukraine na washirika wake wa Ulaya ni ya kijeshi, hatari na ya uharibifu mkubwa. Ameonya kwamba kutumwa kwa kikosi hiki nchini Ukraine kutachukuliwa na Urusi kama mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Urusi. Amesema na hapa namnukuu " Tamko jipya la kile kinachoitwa muungano wa utashi na utayari na utawala wa Kyiv kwa pamoja vinafanya mhimili wa vita” mwisho wa kumnukuu.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]