Kuanguka kwa Maduro, Trump anaweza kuivamia Afrika?

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-09 02:04 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kitendo cha kutekwa Maduro pamoja na mkewe Cilia Flores kwa tuhuma za usafirishaji wa dawa za kulevya kilijibiwa haraka na Umoja wa Afrika. Umoja huo ulielezea "wasiwasi mkubwa" na kutoa wito wa kuheshimu kikamilifu uhuru wa mipaka na kila taifa kuwa na uhuru wa kudhibiti mipaka yake. Umoja wa Afrika umezitaka pande zote zinazohusika kujizuia, kuwajibika, na kuheshimu sheria ya kimataifa ili kulinda amani na utulivu wa kikanda.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]