Serikali ya Syria yatangaza kusitisha mapigano Aleppo

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-09 14:16 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika taarifa yake, wizara hiyo imesema hatua hiyo inalenga "kuzuia kuongezeka kwa mvutano wa kijeshi ndani ya maeneo ya makazi,” na hivyo kusitisha mapigano kuanza saa 9 alfajiri. Mapigano hayo yamekuwa yakihusisha vikosi vya serikali na vikosi vinavyoongozwa na Wakurdi vya SDF, ambapo watu wasiopungua 21 wameuawa katika siku kadhaa za makabiliano.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]