Rais Samia afanya mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-09 14:24 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kwa mujibu wa taarifa jana ya Ikulu ya Tanzania, Patrobas Katambi, ameteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi akichukua nafasi ya George Simbachawene ambaye ametenguliwa. Kabla ya uteuzi huo, Katambi alikuwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara.Rais Samia pia amemteua Profesa Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Ikulu (Kazi Maalum).Kabla ya uteuzi huo alikuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
--------------------------------------------------------------------