UN: Marekani bado ina wajibu wa kufadhili mashirika yake

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-09 13:46 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Msemaji wa Guterres, Stephane Dujarric, amesema kama ambavyo wamekuwa wakisisitiza mara kwa mara, michango iliyokadiriwa kwa bajeti ya kawaida ya Umoja wa Mataifa na bajeti ya ulinzi wa amani, kama ilivyoidhinishwa na Mkutano Mkuu, ni wajibu wa kisheria chini ya umoja huo kuwa nchi zote wanachama zitimize.Awali Katibu Mkuu wa umoja huo Antonio Guterres alionesha kusikitishwa kutokana na uamuzi wa Trump kujiondoa katika mashirika 31 yanayohusiana na umoja huo, ikiwemo shirika la idadi ya watu na mkataba unaoweka masharti ya
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]