Rodriguez: Venezuela haijatishwa na Marekani

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-09 13:38 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza katika hafla ya kuwakumbuka Wavenezuela 100 ambao serikali yake inadai waliuawa katika shambulio la Marekani amesema hawajawa chini ya mamlaka ya mtu na wala hajatishwa. Rodriguez aliongeza kwamba siku ambayo majeshi ya Marekani yalifanya mashambulizi dhidi ya taifa lake, Januari 3, hakuna aliyejisalimisha, na kulikuwa na mapambano ya kulinda taifa.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]