Iran: Trump aangazie matatizo ya nchi yake kuliko Iran
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-09 21:28 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Ayatolla Khamenei anayeiongoza Iran tangu mwaka 1989 amesema waandamanaji wanaharibu nchi yao wenyewe ili kuifurahisha Marekani. Kiongozi huyo aliye na miaka 86 amesema nchi hiyo haitarudi nyuma kama maadui wa taifa hilo wanavyotaka. Ameonya kuwa Trump aliyemuita mtu mwenye kiburi atapinduliwa madarakani.
--------------------------------------------------------------------