Urusi yaishambulia Ukraine kwa kombora jipya la Oreshnik
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-09 21:38 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Maafisa wa Ukraine wamesema watu wanne wameuawa na wengine wasiopungua 22 wamejeruhiwa katika mji mkuu Kiev usiku kucha. Urusi haikusema kombora la Oreshnik lilipiga wapi, lakini vyombo vya habari vya Urusi na wanablogu wa kijeshi walisema lililenga kituo kikubwa cha kuhifadhi gesi asilia chini ya ardhi katika eneo la magharibi la Ukraine la Lviv.
--------------------------------------------------------------------