Rais wa Syria akutana na von der Leyen mjini Damascus

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-09 22:01 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Chombo cha habari cha serikali ya Syria kimeripoti mkutano kati ya rais wa Syria Ahmed al-Sharaa na rais wa halmashauri kuu ya Umoja wa Ulaya, huku von der Leyen akiwa afisa wa ngazi ya juu kabisa wa Umoja wa Ulaya kuwahi kuitembelea Syria tangu alipoondolewa madarakani kiongozi wa muda mrefu wa Syria Bashar al Assad.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]