Bahari za dunia zilinyonya joto jingi 2025
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-10 01:00 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Timu ya wanasayansi wa kimataifa imesema Ijumaa kwamba bahari za dunia zilifyonza kiwango kikubwa cha joto mwaka 2025 na hivyo kuchochea hali ya kuongezeka kwa kina cha bahari, dhoruba kali na matumbawe kufa.
--------------------------------------------------------------------