Maandamano nchini Iran yalianzaje na yanaelekea wapi?

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-10 00:37 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Maandamano nchini Iran yalizuka Disemba 28 na kusambaa kote nchini humo, wakati waandamanaji wakionyesha kutoridhika kwao na hali ya uchumi inayozidi kuwa mbaya pamoja na kuanguka kwa sarafu yake. Watu kadhaa wameuawa na maelfu wamekamatwa huku maandamano ya kila siku yakiongezeka na serikali ikiangalia namna ya kuyadhibiti.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]