Trump afuta awamu ya pili ya mashambulizi Venezuela
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-10 02:23 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Rais huyo wa Marekani pia amesifia ushirikiano chanya kati ya mataifa hayo mawili, hasa katika miundombinu ya mafuta na gesi, baada ya wiki iliyopita, Marekani kumvamia na kumkamata rais wa Venezuela Nicolas Maduro na mkewe Cilia Flores. Hii ni baada ya miezi kadhaa ya Marekani kuukashifu utawala wa Maduro.
--------------------------------------------------------------------