Jeshi la Syria lasema sasa linaidhibiti wilaya ya Aleppo
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-10 22:04 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Jeshi la Syria limesema leo Jumamosi kwamba limefanikiwa kukamilisha udhibiti wa kiusalama katika eneo la Sheikh Maqsud katika mji wa Aleppo ambapo lilipambana na vikosi vya Wakurdi, ambalo hata hivyo limekana kupoteza udhibiti wa eneo hilo baada ya kukataa wito wa kujisalimisha.
--------------------------------------------------------------------