Watu 155,000 wayakimbia makazi yao kaskazini mwa Syria

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-11 02:10 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Gavana wa mji wa Aleppo nchini Syria Azzam al-Gharib amesema hii leo Jumamosi kwamba mapigano yanayoendelea katika vitongoji vya Wakurdi kaskazini mwa Syria yamewafanya takribani watu zaidi ya 155,000 kuyakimbia makazi yao.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]