Wavenezuela wasubiri kuwachiwa huru wafungwa wa kisiasa
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-12 14:20 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Raia wa Venezuela walisubiri Jumapili kwa wafungwa zaidi wa kisiasa kuachiliwa huru huku kiongozi aliyeondolewa madarakani Nicolas Maduro akidai kwa ukaidi kutoka kwenye chumba chake cha mahabusi katika gereza la Marekani kwamba anaendelea vizuri baada ya kukamatwa na vikosi vya Marekani wiki moja iliyopita.
--------------------------------------------------------------------