Serikali ya Syria yalidhibiti eneo la Wakurdi mjini Aleppo

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-12 22:04 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Shirika la habari la serikali ya Syria, SANA, liliripoti kuwa wapiganaji wa mwisho wa SDF waliondoka eneo hilo kwa basi usiku kucha wakielekea kaskazini-mashariki mwa Syria, eneo linalojitawala la Wakurdi, na kwamba hali ya usalama ilikuwa ikirejea taratibu katika vitongoji viwili vinavyokaliwa zaidi na Wakurdi. SANA pia iliripoti kuwa vikosi vya usalama vya serikali vimewekwa ndani ya Sheikh Maqsoud, ambako vinazima vilipuzi vilivyoachwa nyuma na wapiganaji wa Kikurdi.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]