Tume: Leteni kwanza ripoti zenu kabla ya kufikisha kwa umma

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-13 02:33 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Baadhi ya waangalizi wamelalamika kwamba hatua hiyo ya tume inalenga kubana uhuru wao wa kueleza waziwazi kilichotokea wakati wa uchaguzi. Kama ilivyo katika nchi mbalimbali, waangalizi wa kigeni wanaoalikwa na serikali ya Uganda kusimamia uchaguzi, wamekuwa sehemu ya muundo wa kufuatilia zoezi hilo kuhakiki viwango vya kuwa huru na haki.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]