HRW: Unyanyasaji wa ngono kutokana na vita waongezeka Kongo
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-13 03:11 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Hii ni kwa mujibu wa shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch na lile la kutetea haki za wanawake nchini Kongo la SOFEPADI, unyanyasaji huo umekuwa ukifanywa na wanachama wa makundi matano yenye silaha yasiyo ya kiserikali na jeshi la Kongo huko mashariki mwa Kongo.
--------------------------------------------------------------------