Uchaguzi Uganda: Jaribio la nguvu na mamlaka

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-12 06:48 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kuelekea uchaguzi mkuu wa Januari 15 ncini Uganda, hali ya wasiwasi ni kubwa: magari ya kijeshi na wanajeshi kwa sasa yanatawala mandhari ya barabara katika mji mkuu Kampala, na Waganda wengi wana mashaka kuhusu uendeshaji wa mchakato huo. Uganda haijawahi kushuhudia mabadiliko ya madaraka kwa njia ya amani tangu kupata uhuru mwaka 1962.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]