Somalia yafutilia mbali makubaliano yake yote na UAE
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-13 21:10 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Serikali ya Somalia ilitangaza kufutilia mbai mikataba yote na UAE inayojumuisha ile ya bandari na ushirikiano wa ulinzi na usalama na ikitoa ushahidi kwamba Umoja huo wa Falme za Kiarabu umeyahujumu mamlaka ya taifa hilo la Pembe ya Afrika.
--------------------------------------------------------------------