Iran yalegeza vizuizi kwa raia, idadi ya vifo yapita 600

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-13 21:26 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Iran iliwaruhusu raia kupiga simu za kimataifa kupitia simu zao za mkononi siku ya Jumanne. Hata hivyo, haikupunguza vizuizi vya mtandao wala kuruhusu huduma za kutuma ujumbe kurejeshwa. Haya yanajiri mnamo wakati idadi ya waliouawa katika maandamano ya siku kadhaa yaliyogubikwa na umwagaji damu ikidaiwa kupanda hadi watu 646.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]