Trump kuwatoza ushuru washirika wa biashara wa Iran
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-13 12:20 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Rais wa Marekani Donald Trump alitangaza Jumatatu kwamba nchi zinazofanya biashara na Iran zitakabiliwa na ushuru wa asilimia 25 kutoka Marekani. Trump alitangaza ushuru huo katika chapisho la mitandao ya kijamii, akisema "utaanza kutumika mara moja."
--------------------------------------------------------------------