Rais Tshisekedi azuru Togo katika juhudi za kusaka amani

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-13 23:03 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kulingana na taarifa kutoka ikulu ya rais wa Kongo, uhamasishaji wa hivi karibuni wa kidiplomasia unalenga kutumia juhudi za upatanishi zinazoongozwa na Waafrika badala ya zile za kimataifa. Tina Salama msemaji wa rais Felix Tshisekedi amasema kuwa hii haimaanishi kuwa mazungumzo ya Doha au ya Washington yameshindwa.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]