Real Madrid yaachana na Xabi Alonso
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-13 23:19 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kulingana na Madrid, Alonso ameondoka kwa makubaliano ya pande zote mbili lakini hatua hiyo ilifuatia kipindi kigumu kilichodumu kwa karibu miezi minane na ilikuja siku moja baada ya Madrid kufungwa 3-2 na Barcelona katika fainali ya Kombe la Super Cup la Uhispania iliyochezwa Saudi Arabia.
--------------------------------------------------------------------