UN na EU zatoa wito wa kusitishwa vurugu nchini Iran

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-14 02:26 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Europe, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Umoja wa Mataifa umewatolea wito viongozi wa Iran kukomesha matumizi ya nguvu dhidi ya watu wanaondamana kwa amani. Jeremy Laurence, Msemaji wa Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa (OHCHR) ametoa wito kwa serikali ya Iran kwa kusema mauaji ya watu wanaoandamana kwa amani lazima yakome, na kwamba jambo la kuwaita waandamanaji 'magaidi' ili kuhalalisha vurugu dhidi yao halikubaliki.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]