Raia wa Uganda wanapiga kura leo kumchagua Rais
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-15 14:12 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Museveni mwenye umri wa miaka 81 na aliye madarakani tangu mwaka 1986, anawania muhula wa saba, huku kukiwa na hofu kuhusu uwazi wa mchakato huo hasa wakati huu kukiwa kumezimwa mtandao wa intaneti na mawasiliano.
--------------------------------------------------------------------