Iran: Israel inataka kuiingiza Marekani vitani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-15 14:12 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi ameishutumu Israel kwa kutaka kuiingiza Marekani vitani kwa niaba yake. Araghchi ameongeza kuwa la kushangaza, ni kwamba kwa sasa mataifa hayo yamekuwa yakizungumza bayana mambo ambayo awali yalikuwa siri. Wiki hii, Iran imeonya mara kadhaa kuwa iko tayari kufanya mazungumzo na Marekani lakini ikasisitiza pia kuwa imejiandaa kikamilifu kwa vita na kusisitiza kuwa kamwe taifa hilo halijawahi kumruhusu "adui" kufikia malengo yake.
--------------------------------------------------------------------