Uganda yawapa masharti magumu waandishi wa habari
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-14 01:05 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Leo ndiyo siku ya mwisho ya kampeni za uchaguzi na tume ya uchaguzi imetoa masharti kwa wanahabari ikisema kuwa lengo ni kuhakikisha kuwa taarifa zinazofikia umma ni rasmi na wala hazichochei watu.
--------------------------------------------------------------------