ICJ: Kesi ya mauaji ya halaiki ya Warohigya yaanza
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-13 02:32 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, International Orgs
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Gambia, nchi ya Afrika Magharibi ilifungua kesi dhidi ya Myanmar katika mahakama hiyo ya juu zaidi ya Umoja wa Mataifa mnamo mwaka wa 2019, kwa kuzingatia Mkataba wa Mauaji ya Kimbari wa mwaka 1948. Katika kesi hiyo Gambia inadai kwamba wanajeshi wa Myanmar walifanya operesheni iliyodhamiria kuwaangamiza warohingya mnamo mwaka 2017.
--------------------------------------------------------------------