Rais Samia awaomba radhi wanadiplomasia na raia wa kigeni
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-16 01:02 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Rais Samia Suluhu Hassan ameyasema hayo Alhamisi wakati akifungua mwaka mpya wa mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania huku akitilia mkazo kuwa serikali yake imeelewa makosa yaliyotokea na sasa macho ya taifa yanatazama mbele. "Kwa washirika wetu katika jumuiya ya kidiplomasia na raia wa kigeni wanaoishi hapa Tanzania, ninatoa pole za dhati kutokana na hali ya sintofahamu, changamoto ya upatikanaji huduma na kuzimwa kwa intanetimliokumbana nao.
--------------------------------------------------------------------