Ethiopia yaishtumu Eritrea kwa kusambaza risasi kwa waasi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-16 02:43 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika taarifa iliyotoa jana jioni, polisi imesema wiki hii iliwakamata washukiwa wawili na risasi 56,000 katika eneo hilo la Amhara, ambako waasi wa Fano wanaompinga waziri mkuu wa nchi hiyo Abiy Ahmed walianzisha uasi tangu 2023.
--------------------------------------------------------------------