Museveni akiri dosari za kiufundi kwenye uchaguzi Uganda
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-16 02:18 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Raia nchini Uganda wamepiga kura Alhamisi katika zoezi hilo lililogubikwa na dosari kadhaa zikiwemo za kiufundi na kuchelewa kufunguliwa kwa vituo vya kupigia kura. Dosari hizo zimelaleamikiwa pia na Yoweri Museveni anayekitetea kiti chake katika uchaguzi huo.
--------------------------------------------------------------------