Watu 19 wafariki Afrika Kusini kutokana na mafuriko
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-16 14:11 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Hifadhi maarufu ya Kitaifa ya Kruger imelizimika kufungwa huku baadhi ya watalii na wafanyakazi wakihamisha kwa helikopta ili kuokoa maisha yao. Rais Cyril Ramaphosa alitarajiwa kutembelea hapo jana maeneo yaliyokumbwa na mafuriko hayo.
--------------------------------------------------------------------