Tume ya uchaguzi: Rais Museveni anaongoza kwa asilimia 61.7
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-16 14:13 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Matokeo rasmi yanatarajiwa kutolewa ndani ya saa 48 baada ya zoezi la upigaji kura kukamilika. Zoezi la kuhesabu kura linaendelea nchini Uganda baada uchaguzi mkuu wa rais na wabunge kufanyika hapo jana licha ya kasoro mbalimbali kushuhudiwa.
--------------------------------------------------------------------