Museveni aongoza uchaguzi Uganda, Bobi Wine azuwiwa nyumbani

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-16 21:09 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais nchini Uganda yanaonyesha Rais Yoweri Museveni akiongoza kwa mbali, huku kukiwa na simulizi zinazokinzana kuhusu ghasia zilizotokea baada ya upigaji kura. Uchaguzi huo ulifanyika katika mazingira ya taharuki, usalama mkali na kukatwa kwa huduma ya intaneti nchini kote.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]