Kalemie yatetemeshwa na wizi wa silaha na mauaji ya usiku

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-16 22:06 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Ukosefu wa usalama unaendelea kushika kasi mjini Kalemie, mji mkuu wa jimbo la Tanganyika, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Wakazi wanasema maisha yao yamegeuka kuwa ya hofu ya kudumu, hasa nyakati za usiku ambapo uvamizi wa majambazi hutokea mara kwa mara.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]