Watu 10 wauawa Uganda Museveni akielekea muhula wa saba

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-17 03:27 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Politics, Crime & Justice, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Uganda inaendelea kushikilia pumzi huku taifa likisubiri matokeo ya mwisho ya uchaguzi wa urais, zoezi ambalo tayari limegubikwa na umuagaji damu, hofu na madai mazito ya udanganyifu. Polisi wanasema takribani watu kumi waliuawa katika vurugu zilizotokea usiku kucha katikati mwa nchi, saa chache baada ya kupigwa kura katika uchaguzi unaoonekana kumwelekeza Rais Yoweri Museveni kuendeleza utawala wake hadi muongo wa tano.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]