Polisi wa Uganda wakanusha madai ya kukamatwa kwa Bobi Wine

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-17 21:47 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Polisi wa Uganda wamekanusha madai yaliyotolewa na chama cha kiongozi wa upinzani Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine, kwamba kiongozi huyo alikamatwa na wanajeshi wakati Rais Yoweri Museveni akielekea kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa wiki hii.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]